sw_obs-tq/content/44/05.md

326 B

Petro alisema nani alimwua Yesu?

Alisema watu katika kundi hilo walimwomba gavana wa Kirumi kumwua Yesu.

Unabii gani ambao watu walitimiza walipomwua Yesu?

Unabii kwamba Masihi angeweza kuteseka na kufa.

Petro aliwaambia nini watu wanapaswa kufanya?

Wanapaswa kutubu na kumgeukia Mungu, ili dhambi zao ziondolewe.