sw_obs-tq/content/40/09.md

227 B

Nani alimuomba Pilato mwili wa Yesu?

Yusufu na Nikodemo.

Waliufanya nini mwili wa Yesu?

Waliufunga mwili kwa nguo na kuuweka kwenye kaburi lililochongwa katika mwamba na kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya kaburi.