sw_obs-tq/content/38/12.md

211 B

Yesu aliomba nini kwa Baba yake huko Gethsemane?

Alimwomba Baba yake tafadhali nisinywe kikombe hiki cha mateso, lakini mapenzi yako yatimizwe, ikiwa hapakuwa na njia nyingine ya dhambi za watu kusamehewa.