sw_obs-tq/content/37/03.md

372 B

Wanafunzi walifikiria nini Yesu alimaanisha wakati aliposema Lazaro alikuwa amelala?

Walifikiri alikuwa amelala na angeweza kua vizuri.

Yesu aliwaambia waziwazi wanafunzi juu ya Lazaro?

Yesu alisema Lazaro alikufa.

Kwa nini Yesu alifurahi kuwa hakuwa pale wakati Lazaro alipokufa?

Kwa sababu kitu kitatokea ambacho kitawafanya wanafunzi waweze kumwamini Yesu.