sw_obs-tq/content/36/03.md

337 B

Wanaume wawili ambao walionekana pamoja na Yesu walikuwa nani?

Musa na nabii Eliya.

Kwa nini ilikuwa ni miujiza kwamba Musa na Eliya walionekana pamoja na Yesu?

Wote wawili waliishi miaka mamia kabla ya hii.

Musa na Eliya walizungumzia nini na Yesu?

Walizungumza juu ya kifo cha Yesu.

Yesu alienda kufia wapi?

Yerusalemu