sw_obs-tq/content/31/08.md

211 B

Nini kilichotokea baada ya Yesu kuingia katika mashua?

Mara upepo ulikoma kuvuma na maji yakatulia.

Wanafunzi walijibu nini kwa muujiza huu?

Wakamsujudia Yesu na kusema, "Kweli, wewe ni Mwana wa Mungu."