sw_obs-tq/content/31/01.md

250 B

Je! Yesu aliwaambia wanafunzi wafanye nini wakati walipowafukuza watu?

Aliwaambia waingie kwenye mashua na kwenda upande wa pili wa ziwa.

Yesu alifanya nini baada ya kuwapeleka wanafunzi wake katika mashua?

Alikwenda juu ya mlima ili kuomba.