sw_obs-tq/content/30/01.md

226 B

Je, Yesu aliwatuma mitume wake kufanya nini katika vijiji?

Aliwatuma wahubiri na kufundisha.

Kwa nini Yesu aliwachukua mitume wake kuwapeleka upande mwingine wa ziwa?

Aliwaalika mahali pa kimya ili kupumzika kwa muda.