sw_obs-tq/content/28/10.md

256 B

Yesu alisema nini ingekuwa tuzo yao?

Wangepokea mara moja zaidi katika ulimwengu ujao, na pia uzima wa milele.

Nani mwingine anaweza kupokea zawadi hii?

Kila mtu anayeacha nyumba, ndugu, dada, baba, mama, watoto, au mali kwa ajili ya jina la Yesu.