sw_obs-tq/content/28/04.md

273 B

Ni jambo gani lingine ambalo Yesu alimwambia yule kijana kulifanya?

Alimwambia auza kila kitu ambacho alikuwa nacho na kutoa fedha kwa maskini, kisha amfuate Yesu.

Ni ahadi gani Yesu alimuahidi tajiri mdogo kama angeweza kufanya hivyo?

Angekuwa na hazina mbinguni.