sw_obs-tq/content/16/09.md

234 B

Ni ishara gani mbili ambazo Mungu alifanya ili kuthibitisha kwamba angeweza kuokoa Israeli kupitia Gideoni?

Mungu alifanya umande wa asubuhi kuanguka kwenye nguo na sio ardhi, na kisha umande uliangukia chini tu na si kwenye nguo