sw_obs-tq/content/15/13.md

228 B

Kwa nini Yoshua aliwaita Waisraeli kwa pamoja alipokuwa mzee?

Kuwakumbusha wajibu wao wa kutii agano la Mungu alilofanya nao.

Waisraeli walimjibu nini Yoshua?

Waliahidi kubaki waaminifu kwa Mungu na kufuata sheria zake.