sw_obs-tq/content/15/09.md

218 B

Jinsi gani Mungu aliwapigania Waisraeli dhidi ya Waamori?

Aliwachanganya Waamori, akawatumia mvua ya mawe makubwa, na kusababisha jua kukaa mahali pamoja ili Waisraeli wawe na muda wa kutosha wa kuwashinda kabisa.