sw_obs-tq/content/15/04.md

238 B

Jinsi gani Waisraeli waliivamia Yeriko?

Walizunguka mji siku kwa siku sita, kisha siku ya saba walizunguka mji mara saba zaidi. Walipokuwa wakizunguka mji kwa mara ya mwisho, askari walipiga kelele wakati makuhani walipiga tarumbeta.