sw_obs-tq/content/14/13.md

259 B

Kwa nini Mungu alikasirika wakati Musa alipopiga mwamba?

Kwa sababu Musa alimdharau Mungu kwa kutozungumza na mwamba kama alivyoambiwa kufanya.

Jinsi gani Mungu alimuadhibu Musa kwa sababu ya kutotii kwake?

Mungu alisema Musa hataingia Nchi ya Ahadi.