sw_obs-tq/content/10/02.md

229 B

Mungu alifanya nini wakati Farao alipokataa Waisraeli wasiondoke?

Alileta mapigo kumi kwa Wamisri

Mungu alimwonyesha Farao nini kupitia mapigo haya?

Kwamba yeye ni mwenye nguvu zaidi kuliko Farao na miungu yote ya Misri.