sw_obs-tq/content/08/07.md

221 B

Je! Mungu alimpa Yusufu ujuzi gani?

Uwezo wa kutafsiri ndoto.

Nini maana ya ndoto ya Farao?

Mungu ataruhusu pawepo na kipindi cha miaka saba ya mavuno mengi, itakayofuatiwa na miaka mingine saba ya ukame na njaa.