sw_obs-tq/content/06/04.md

284 B

Ahadi gani za Mungu zilipitishwa kwa Isaka wakati Abrahamu alipokufa?

Ahadi zote ambazo Mungu alimfanyia Abrahamu, ikiwa ni pamoja na kwamba angekuwa na wazao mwingi.

Kwa nini inaonekana kuwa ahadi ya uzao isitoshe haikamilishwa kupitia Isaka?

Rebeka hakuweza kuwa na watoto.