sw_obs-tq/content/04/08.md

255 B

Mungu alimuahidi nini Abrahamu baada ya kuishi huko Kanaani kwa miaka mingi?

Abrahamu aatapata mtoto na uzao wako utakua mwingi kama nyota za angani

Kwa nini Mungu alisema Abrahamu alikuwa mwenye haki?

Kwa sababu Abrahamu aliamini ahadi ya Mungu.