sw_obs-tq/content/02/05.md

225 B

Kwa nini mwanamke alikula matunda?

Aliona kwamba yalikuwa mazuri na matamu, na alitaka kuwa mwenye hekima.

Je, Adamu na mkewe walilazimishwa kula matunda?

Hapana, walichagua kwa uhuru kula matunda na kumdhalau Mungu.