sw_obs-tq/content/01/10.md

236 B

Mungu alifanyaje mtu wa kwanza?

Mungu alichukua vumbi la ardhi

Mtu huyo aliishije?

Mungu akapulizia uhai ndani yake

Jina la mtu huyo lilikuwa nani?

Adamu

Mungu alimuweka wapi Adamu?

Katika bustani ambayo Mungu alipanda.