sw_obs-tq/content/01/09.md

234 B

Kwa njia gani Mungu alimfanya mtu kuwa tofauti na wanyama?

Alimfanya mwanadamu kwa sura yake na kwa mfano wake.

Mungu alisema nini utakuwa wajibu wa wanadamu?

Wangekuwa na mamlaka juu ya dunia na juu ya wanyama ili kuwajali.